12/17/2015

Tanzania kutafuta suluhu Burundi?

Nafarijika sana kuona Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimwagiza Waziri wa mambo ya nje kuangalia namna ambavyo mazungumzo yanaweza kufanyika na kufikia muafaka dhidi ya kile kinachoendelea Burundi,naanza kuona ile dhana ya u-Afrika yaani Pan-Afrikanism, nafikiri wale wenye kufahamu falsafa hiyo watakubaliana na mimi kuwa hatuwezi kuwa wa-Afrika kama wenzetu Burundi hawako salama.
           Chagulani,S

No comments:

Post a Comment